Kwa sasa Tanzania ina miaka 52 toka ipate uhuru wake.
Kwanini mpaka leo huduma muhimu za kijamii kama hospitali hazijaboreshwa ipasavyo na kufanya hata viongozi wengi wa nchi kwenda nje ya nchi kutibiwa??
Kwanini tusiige nchi kama ya Afrika ya Kusini, Mzee Mandela katibiwa na akafia hospitali iliyopo nchini kwake??
No comments:
Post a Comment