Sunday 23 March 2014

NI LINI VIONGOZI WA TANZANIA WATAACHA KUTIBIWA NJE YA NCHI ????

Kwa sasa Tanzania ina miaka 52 toka ipate uhuru wake.
Kwanini mpaka leo huduma muhimu za kijamii kama hospitali hazijaboreshwa ipasavyo na kufanya hata viongozi wengi wa nchi kwenda nje ya nchi kutibiwa??

Kwanini tusiige nchi kama ya Afrika ya Kusini, Mzee Mandela katibiwa na akafia hospitali iliyopo nchini kwake??

Lini huduma za afya zitaboreshwa??

Kama viongozi wenye dhamana hawaboreshi ipasavyo huduma za afya na kwenda nje ya nchi kutibiwa,sisi wananchi wa kawaida ndio pekee tutaendelea kukaa katika mazingira ambayo dawa na wataalam wa huduma za afya ni hadimu kupatikana????

Naomba kuwasilisha.











No comments:

Post a Comment