Saturday 8 March 2014

KWANINI BADO WANAFUNZI WANAKAA CHINI BILA MADAWATI?????

Licha ya Tanzania kuwa na misitu mingi yenye uwezo mkubwa wa kuzalisha mbao, bado wananchi wake hawanufaiki nayo vyakutosha/ipasavyo.

Hii inapelekea hata wanafunzi wake kwa kiasi kikubwa katika shule nyingi kukosa madawati na kukaa chini toka uhuru mpaka sasa ambapo nchi yetu Tanzania imefikisha miaka 52 toka ipate uhuru.


NINI MAONI YAKO??













ZIFUATAZO NI PICHA ZA SHULE YA MSINGI ETARO ILIYOPO MUSOMA VIJIJINI












Wanafunzi wakiendelea na masomo yao huku wengine wakitumia magoti yao kama sehemu za kuandikia huku wakiwa wamekaa chini.





Hali halisi ndiyo hii wilayani Musoma vijijini





No comments:

Post a Comment