Monday 10 February 2014

Mashoga wanaadhibiwa vipi??

Mahusiano ya jinsia moja kule Nigeria sheria zao zinasema ukikutwa utafungwa miaka 14 au wakitumia sharia yaani zile za kiislam huenda wakapigwa mawe hadi kufa.

Vipi sheria za hapa nchini kwetu Tanzania???

Hudhani kama kuna haja ya kuwekwa hili kwenye katiba mpya ili kupunguza au kuondoa kabisa mahusiano haya ja jinsia moja???

1 comment: