Viwango vya ufaulu vimeshuka sana sikubaliani na serikali inayosema kiwango cha ufaulu kimeongezeka, nikiwa na maana serikali imetutengenezea mabomu majibu yake tutayapata soon maana tunaandaa wataalumu mambulula, kama daraja la III hadi point 31 tutegemee nn hapo? wizara ya elimu imechemsha, kama lengo lao lilikuwa kutufurahisha wazazi tuone watoto wamefaulu big NOOO!!
Viwango vya ufaulu vimeshuka sana sikubaliani na serikali inayosema kiwango cha ufaulu kimeongezeka, nikiwa na maana serikali imetutengenezea mabomu majibu yake tutayapata soon maana tunaandaa wataalumu mambulula, kama daraja la III hadi point 31 tutegemee nn hapo? wizara ya elimu imechemsha, kama lengo lao lilikuwa kutufurahisha wazazi tuone watoto wamefaulu big NOOO!!
ReplyDeleteHii ndiyo Big Results Now
Delete