Saturday 15 March 2014

ZIJUE KEMIKALI ZINAZOPATIKANA KWENYE UVUTAJI WA SIGARA.

Ndugu wadau, leo nimeona niwaoneshe japo kidogo tu madhara yanayoletwa na uvutaji wa sigara.

Wataalamu wanasema moshi wake haumdhuru tu yule mvutaji bali hata anayepokea ule moshi wake.Kwamaana hiyo sigara ina madhara kwa mvutaji na hata mtu aliye karibu katika kuupokea ule moshi na kumuingia mwilini mwake.

Nipende kueleza kuwa ni vyema kwa mvutaji kuachana na sigara na hata mtu wa kawaida ambaye havuti kuwa mbali nayo,kwa maana ya moshi wake.

Kwa yeyote atakaye hitaji kuacha,nashauri aende kwenye vituo vya afya kuwaona wataalamu wa mambo haya naamini daktari atakupa njia sahihi ya kuachana na uvutaji wa sigara au tumbaku zozote za namna hii ili kuunusuru mwili pamoja na afya yako.

Hebu tazama jinsi sigara inavyokuwa na kemikali nyingi ambazo huleta sana sumu kwenye miili ya binadamu.















1 comment:

  1. merit casino 100% up to $200 Bonus
    The game is kadangpintar a game that is highly fun to play, it has a lot to deccasino offer. It's 메리트 카지노 주소 a casino that offers bonuses on everything from playing to

    ReplyDelete